#

MKUTANO MKUU
NTUC 2025

Salamu katika jina la Mwokozi wetu Yesu Kristo! Kwa furaha na shukrani, ninawakaribisha kwenye Mkutano wa 4 wa Union ya Kaskazini mwa Tanzania wa Kanisa la Waadventista wa Sabato, utakaofanyika Chuo Kikuu cha Arusha, Septemba 07–09, 2025 chini ya kaulimbiu: “Yesu Anakuja, Nitakwenda!”

JINSI YA KUJISAJILI BINAFSI


Andika taarifa zako kamili kwa usahihi zingatia kuandika Jina la kwanza ikifuatiwa na Jina la Ukoo
Namba ya simu sharti ianze na 0 Mfano (0756425718)
Usiache kuweka email yako Taarifa hizi ni Muhimu kuthibitisha Uwakilishi wako
Chagua Taasisi na Aina ya Uwakilishi Kisha Sajili
Utapokea uthibitisho wa Usajili wako
Kwa Changamoto zaidi Wasiliana nasi kupitia 0756505435 au 0653417493.
img

× Avatar

× Avatar
Create Account